Psalms 125:1-2

Usalama Wa Watu Wa Mungu

Wimbo wa kwenda juu.

1 aWale wamtumainio Bwana ni kama mlima Sayuni,
ambao hauwezi kutikisika, bali wadumu milele.
2 bKama milima inavyozunguka Yerusalemu,
ndivyo Bwana anavyowazunguka watu wake
sasa na hata milele.
Copyright information for SwhNEN